TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ametuma salamu maalumu na mkono wa baraka na fanaka kwa viongozi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya kukumbuka kuzaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad Muhammad SAW na Wiki ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3474464 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24